AfyaMtandao | Msaada | Wasiliana nasi | Maoni | English Version
Tafuta :    
 Mwanzo  | Kuhusu AfyaMtandao  | Habari  | Matukio  | Huduma za Afya  | Maswali Mrudio(FAQ)  | Afya Akaunti  | Links   5th February 2012
                                 
    Magonjwa, jinsi ya kuzuia na kujikinga   Makala za Afya kutoka kwa wataalamu wa afya   Maswali na majibu kuhusu masuala ya afya   Afya Yako na jinsi ya kuiboresha   Afya Katika Picha na maelezo  
                                 
 
 Historia
 Utawala
 Tulipo
 Shughuli Zetu
 Jiunge nasi
 Wasiliana nasi

 

 
      
Mahali Ulipo:  » Mwanzo » Afya Akaunti

Jiunge nasi


Jiunge na AfyaMtandao ili kuwa mwanachama ambapo wanachama wetu wamegawanyika katika makundi matatu ambayo ni; 
 

Wanachama washiriki (Corporate members)
Kundi hili la Wanachama linajumuisha watu kutoka idara za serikali kuu na zile za Mitaa,Mashirika yasiyo ya kiserikali,Mashirika ya Dini,Mashirika ya Wataalam yakijumuisha sekta binafsi za Afya.Watumiaji wote wa huduma ya TEKNOHAMA ni wanachama washiriki.
 

Wanachama wataalamu
Hawa ni wafanyakazi wa Afya wanaojumuisha Wataalamu wa Afya kutoka moja kwa moja kwenye sekta ya Afya na Wataalamu wa TEKNOHAMA.

Wanachama waanzilishi
Kundi hili linaundwa na waanzilishi wa Afyamtandao ambao ni Tume ya Kikristo ya huduma za jamii (CSSC).

 

 

   
 
Haki zote zimehifadhiwa ©2007-2012 AfyaMtandao.