Bw.Petro Masatu Pamba
Mratibu Mkuu (Coordinator) Afyamtandao Tanzania,pia ni Afisa wa Kitengo cha Mawasiliano Tume ya Kikristo ya Huduma za Jamii (CSSC),anasimamia shughuli zote za Afyamtandao.
Bw.Renatus J Sona
Afisa habari (Content Officer) Afyamtandao, anahusika na idara ya kushirikishana maarifa na uzoefu "Knowledge sharing"anaratibu habari na taarifa mbalimbali katika tovuti ya Afyamtandao pia anahusika na uzalishaji wa Video kupitia kitengo cha "Media production".
Bi. Doris Ninalwo
Mtendaji wa Ofisi (Office Management Secretary) ni mratibu wa shughuli mbalimbali za kila siku.