AfyaMtandao | Msaada | Wasiliana nasi | Maoni
Tafuta :    
 Mwanzo  | Kuhusu AfyaMtandao  | Habari  | Matukio  | Huduma za Afya  | Maswali Mrudio(FAQ)  | Afya Akaunti  | Links   5th September 2008
                                 
    Magonjwa, jinsi ya kuzuia na kujikinga   Makala za Afya kutoka kwa wataalamu wa afya   Maswali na majibu kuhusu masuala ya afya   Afya Yako na jinsi ya kuiboresha   Afya Katika Picha na maelezo  
                                 
 
 Historia
 Utawala
 Tulipo
 Shughuli Zetu
 Jiunge nasi
 Wasiliana nasi

 

 
      
Mahali Ulipo:  » Mwanzo » Afya Akaunti

Utawala


Bw.Petro Masatu Pamba

Mratibu Mkuu (Coordinator) Afyamtandao Tanzania,pia ni Afisa wa Kitengo cha Mawasiliano Tume ya Kikristo ya Huduma za Jamii (CSSC),anasimamia shughuli zote za Afyamtandao.

Bw.Renatus J Sona

Afisa habari (Content  Officer) Afyamtandao, anahusika na  idara  ya kushirikishana maarifa na uzoefu "Knowledge sharing"anaratibu habari na taarifa mbalimbali katika tovuti ya Afyamtandao pia anahusika na uzalishaji wa Video kupitia kitengo cha "Media production".

Bi. Doris Ninalwo

Mtendaji wa Ofisi (Office Management Secretary) ni mratibu wa shughuli mbalimbali za kila siku.

 

 

 

   
 
Haki zote zimehifadhiwa ©2007 AfyaMtandao.