| Malezo ya Mradi |
PROGRAMME 4: MAFUNZO ENDELEVU YA KITAALUMA KAZINI CONTINUING PROFESSIONAL DEVELOPMENT(CPD) |
| Historia ya mradi |
Hali halisi ilivyo sasa Utekelezaji wa mradi alianza Septemba 2006
|
| Goal |
Lengo la mradi huu ni kuhamasisha wataalamu kujisomea na kujiendeleza kitaaluma katika sehemu zao za kazi. Kwa kupitia warsha na mafunzo kazini itaweezekana kujenga uwezo wa watendaji na viongozi kujiendeleza. Mipango midogo mitano ya kuendeleza azma hii itaanzishwa na maudhui ya mafunzo kuandaliwa katika taasisi mbalimbali. Sera zitawekwa na taratibu za kutunuku vyeti zitawekwa Walengwa wa mradi huu ni Taasisi za Mafunzo za Kanda.
|
| Objectives |
Kuhakikisha kuwa wataalamu wanapata fursa ya kujiendeleza kitaaluma wakati wote wawapo kazini |
| Target |
Taasisi Kiongozi Mradi unatekelezwa sanjari na mradi wa InWent(GTZ) katika sekta ya Afya Utasimamiwa na kamati itakayoongozwa na COSTECH
|
| Mategemeo |
Kuwa na kada ya wataalamu wanaojiendeleza wakati wote wawapo kazini |
| Mafaniko |
Kuinua kiwango cha utendaji kazi na utoaji huduma |
| Mfadhili |
IICd na GTZ(InWent) |
| Barua pepe |
muchs.ac.tz |
| Mradi Unaanza |
0000-00-00 |
| Mradi Unaisha |
0000-00-00 |
| Anwani ya Jumla |
MUCHS |
| Simu ya Mezani |
0755 294913 |
| Hali ya Mradi |
Progessing |
| Anwani binafsi |
Prof.G Msamanga na Denis Mazali |
| Anwani ya shirika |
MUCHS |
| Mratibu |
Prof. G. Msamanga na Dennis Mazali |
| Gharama |
n/a |
| Nyaraka : |  |