AfyaMtandao | Msaada | Wasiliana nasi | Maoni | English Version
Tafuta :    
 Mwanzo  | Kuhusu AfyaMtandao  | Habari  | Matukio  | Huduma za Afya  | Maswali Mrudio(FAQ)  | Afya Akaunti  | Links   9th September 2010
                                 
    Magonjwa, jinsi ya kuzuia na kujikinga   Makala za Afya kutoka kwa wataalamu wa afya   Maswali na majibu kuhusu masuala ya afya   Afya Yako na jinsi ya kuiboresha   Afya Katika Picha na maelezo  
                                 
 

 

 
      
Mahali Ulipo:  » Mwanzo » Miradi ya Afya

Miradi ya Afya

Maelezo zaidi
Malezo ya Mradi


P6-30.316:MKAKATI WA TEKNOHAMA KWA WANACHAMA WA CSSC

Historia ya mradi Muhtasari
CSSC inatoa asilimia 40 ya  huuduma za afya hapa nchini. Ipo haja ya kuwa na mkakati wa pamoja wa  kupenyeza Teknohama katika makanisa na taasisi zilizoko chini ya CSSC. Mkakati huo utaandaliwa kwa mbinu shirikishi kuanzia ngazi za chini kwenda ngazi za juu. Na kujumuisha sekta zote
Goal Kuwezesha wanachama wa CSSC kuendesha shughuli zao kisasa
Objectives Kuboresha utoaji wa huduma kwa kutumia tekinolojia ya habari na mawasiliano
Target Wanachama wote wa CSSC
Mategemeo Kutoa huduma bora kwa kutumia tekinolojia za kisasa
Mafaniko Kwenda na wakati
Mfadhili IICD ya Uholanzi
Barua pepe cssc@cssc.or.tz
Mradi Unaanza 0000-00-00
Mradi Unaisha 0000-00-00
Anwani ya Jumla CSSC
Simu ya Mezani 0222112918
Hali ya Mradi Progessing
Anwani binafsi Mr. Petro Pamba
Anwani ya shirika CSSC P.O. Box 9433 D'Salaam
Mratibu Mr.Petro Pamba
Gharama n/a
Nyaraka : Chukua waraka


« 

 

 

   
 
Haki zote zimehifadhiwa ©2007-2010 AfyaMtandao.