AfyaMtandao | Msaada | Wasiliana nasi | Maoni | English Version
Tafuta :    
 Mwanzo  | Kuhusu AfyaMtandao  | Habari  | Matukio  | Huduma za Afya  | Maswali Mrudio(FAQ)  | Afya Akaunti  | Links   9th September 2010
                                 
    Magonjwa, jinsi ya kuzuia na kujikinga   Makala za Afya kutoka kwa wataalamu wa afya   Maswali na majibu kuhusu masuala ya afya   Afya Yako na jinsi ya kuiboresha   Afya Katika Picha na maelezo  
                                 
 

 

 
      
Mahali Ulipo:  » Mwanzo » Miradi ya Afya

Miradi ya Afya

Maelezo zaidi
Malezo ya Mradi

Muhtasari

Gharama za kujiunga katika tovuti bado ziko juu sana hapa Tanzania.Lakini kwa kuungana na kushirikiana katika  kununua bandwidth gharama hizo zinaweza kupungua kwa karibú asilimia 40. Taasisi nyingi za afya bado zinakabiliwa na ukata na hazina vyazo vya uhakika vya mapato licha ya kwamba nyingi ya hizo bado hazijaweza hata kujiunga katika mtandao au hata kuanzisha matumizi ya kompyuta katika ofisi zake.
Lengo  lingine la kuanzishwa kwa mradi huu wa Afyanet  ni kwamba iwe  chombo kitakachounganisha taasisi za afya katika  mazungumzo ya kibiashara ya ununuzi wa bandwidth kwa ajili ya kuuunganisha taasisi hizo kwenye tovuti. Aidha Afyanet itatoa pia huduma za kiufundi kwa wanachama wake na wateja wengine kwa jumla.

Historia ya mradi

Wamiliki wa Mradi
CSSC

Goal Lengo  lingine la kuanzishwa kwa mradi huu wa Afyanet  ni kwamba iwe  chombo kitakachounganisha taasisi za afya katika  mazungumzo ya kibiashara ya ununuzi wa bandwidth kwa ajili ya kuuunganisha taasisi hizo kwenye tovuti. Aidha Afyanet itatoa pia huduma za kiufundi kwa wanachama wake na wateja wengine kwa jumla.
Objectives Kuunganisha nguvu za wadau katika kununua bandwidth(masafa ya mawasiliano) na kutoa huduma za kiufundi kwa wadau kwa bei nafuu.
Target Taasisi za Afya za Makanisa  na wadau wengine kwa ujumla ndiyo walengwa wa mradi huu.
Mategemeo Ni matarajio ya mradi huu kwamba wabia watapata huduma za tekinolojia ya habari na mawasiliano kwa gharama nafuu kupitia mradi huu
Mafaniko

Hali ilivyo hivi sasa

Andiko la mradi lilishatayarishwa na wafadhili wanatafutwa ili huduma hii ianze kutolewa.

Mfadhili IICD ya Uholanzi
Barua pepe ppamba@cssc.or.tz
Mradi Unaanza 0000-00-00
Mradi Unaisha 0000-00-00
Anwani ya Jumla CSSC
Simu ya Mezani 0222112918
Hali ya Mradi
Anwani binafsi Mr. Petro Pamba
Anwani ya shirika CSSC P.O. Box 9433 D'Salaam
Mratibu Mr.Petro Pamba
Gharama N/A
Nyaraka : Chukua waraka


« 

 

 

   
 
Haki zote zimehifadhiwa ©2007-2010 AfyaMtandao.